mafunzo na semina za kilimo
- Home
- mafunzo na semina za kilimo
baada ya uandaaji wa shamba wakulima wanatakiwa wapate ushauri kuhusu udongo wao, na aina za mbegu, Kangeta kilimo wanao wataalamu waliobobea kwenye elimu ya udongo na sifa zake.
Uchumi wa kilimo utakuepo kwa kuhakikisha udongo uliopo shambani unaweza kuzalisha mazao kwa kiwango cha juu/kilichokusudiwa. Kangetakilimo wanao wataalamu wazuri kuhusu tabia ya udongo na sifa zake. Wataalamu wa kangeta kilimo wanatoa taarifa na ushauri wa kitaalamu kuhusu udongo mzuri kwa uzalishaji. katika sekta ya uchumi wa kilimo tunatoa huduma zifuatazo;
Kupima udongo
Utunzaji na udhibiti wa udongo
Uzalishaji wa mazao ya nafaka,bustani,na matunda pamoja na miti
Mbinu za uzalishaji na kuongeza mavuno
Date
Category
Semina
Client Site
Tags
Download Kangeta Kilimo App