kangetakilimo inao wataalamu waliobobea katika kilimo cha mazao ya bustani kama mbogamboga, matunda, maua, Kangetakilimo inatoa taarifa muhimu kwa wateja wao kuhusu kilimo hicho na mbinu za kilimo cha mazao ya bustani. Katika sekta ya mazao ya bustani tunatoa huduma zifuatazo;
Uchaguzi wa aina ya mbegu kwa zao husika
Udhibiti wa magonjwa na wadudu
Uanzilishaji/uandaaji wa vitalu
Uhamishaji wa miche kutoka kwenye kitalu kwenda shambani
Kutunza mazao baada ya mavuno
Mbinu za uzalishaji
Uzalishaji wa mazao ya mapambo