Mafunzo na semina za kilimo

Mafunzo na semina za kilimo

Kangetakilimo imelenga kuona mabadiliko chanya kwa wakulima wakiwa kama walengwa wakuu, hivo kangetakilimo inataka kubadili mtazamo wa watu wanao ogopa kujiingiza kwenye kilimo kutokana na kukosa elimu ya namna ya kuendesha kilimo cha kisasa kwenye mashamba yao.

Kangetakilimo wanatoa mafunzo na mpango kazi. Yote haya yatafanywa kwa vitendo na kufanya majaribio pale inapotakiwa.

Kuhusu Kangetakilimo

Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.  .... Soma Zaidi

 

Download Kangeta Kilimo App

Please publish modules in offcanvas position.