Kangetakilimo aiming to see positive changes among farmers as their main client, also wants to change the vision of the people who are afraid to engage in agriculture due to the lack of knowledge on how to conduct modern agriculture to their fields.kangetakilimo will be there to provide Training and workshop. These will be done in practical and demonstrations where it is necessary.
Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara. .... Soma Zaidi