Angalizo: Viuatilifu ni sumu, unapovitumia ni vyema ukavaa vifaa kinga, kusoma kibandiko, kupima kiwango sahihi, muda wa kunyunyiza na muda wa kusubiri tangu uliponyunyiza kiuatilifu hadi kipindi cha kuvuna mazao. Pia usinyunyize kiuatilifu karibu na vynzo vya maji au sehemu ambazo kuna makazi ya nyuki
Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara. .... Soma Zaidi