Gharama ya mbegu ya matikiti aina ya sugarking F1 Hybrid 50g,250g,500g kupitia kangeta kilimo bei ni makubaliano
Njia za malipo utalipia baada ya kupokea mzigo kwa njia ya mpesa au tigo pesa,kulipa moja kwa moja
Gharama ya kuletewa mzigo ni 200tsh,5000tsh hadi 10000tsh huchukua 1 hadi 2 kulinga na mkoa au wilaya uliyopo
Sugar King F1 Hybrid
Sugar King F1 Hybrid
1. Tunda lina umbo la yai na mistari ya kjani iliyokolea
2. Tunda lina ganda la kijani na nyama ya ndani lina rangi nyekundu iliyokolea
3. Tunda lina kiasi kingi cha sukari cha asilimia 9.6% TSS (Sugar content )
4. Uzito wa tunda una wastani wa kuanzia kilogramu 10 hadi 12
5. Tunda linakomaa kuanzia siku 75 hadi 80
6. Tunda linauwezo mkubwa wa kuto kushambuliwa na magonjwa
Is the Agricultural gateway to untapped Agricultural Resources and markets targeting poor small scale, medium scale and large scale farmers in Tanzania, in providing access to crucial Agricultural solutions and Technology Services, products and solutions. Kangetakilimo enables and empowers local Farmers by .... Read more