Viuatilifu vitumike kulingana na kiwango cha mashambulizi ya wadudu (economic threshold). Kiuatilifu ni lazima kiendane na kisumbufu lengwa na ni lazima kitumike kulingana na maelekezo ya kwenye kibandiko.
Sababu ni ngingi. Matokeo mazuri kutokana na matumizi ya kiuatilifu hutegemeana na insi mdau alivyokitumia na kama amezingatia taratibu zinazotakiwa. |
Inawezekana kabisa kuwa kwa maeneoo ambapo wakulima hawatumii kulingana na maelekezo, kiuatilifu kile kile kinaweza kushindwa kufanya kazi iliyokusudiwa.
Is the Agricultural gateway to untapped Agricultural Resources and markets targeting poor small scale, medium scale and large scale farmers in Tanzania, in providing access to crucial Agricultural solutions and Technology Services, products and solutions. Kangetakilimo enables and empowers local Farmers by .... Read more