Washiriki wa mafunzo katika wilaya zote ambazo wawezeshaji wamepita walielimishwa juu ya umuhimu wa kukagua mashamba mara baada ya kupanda na mimea kuota ili kuweza kutambua wadudu waharibifu ambao huaribu mipamba katika hatua mbalimbali za ukuaji wa mipamba. Washiriki wamefundishwa jinsi ya kutambua wadudu katika hatua zote za mzunguko wa maisha (Mdudu kamili, mayai, kiwavi/funza na buu). Utambuzi wa wadudu katika mipamba utaweza kuwasaidia maafifa ughani, wakulima viongozi na ushirika wa wakulima kuweza kuchukua hatua sahihi kwa kutukumia mbinu husishi ikiwepo ya matumizi ya viuadudu vilivyoidhinishwa na serikali kudhibiti wadudu.Maa hii ilitolewa na mtafiti mwandamizi wa wadudu wanaoshambulia zao la pamba
Is the Agricultural gateway to untapped Agricultural Resources and markets targeting poor small scale, medium scale and large scale farmers in Tanzania, in providing access to crucial Agricultural solutions and Technology Services, products and solutions. Kangetakilimo enables and empowers local Farmers by .... Read more