title_686f5f174cb622017126671752129303

Mabadiliko ya sekta ya kilimo nchini Tanzania

“Yanaongeza mavuno katika kupambana na hali ya kukosa chakula .”

title_686f5f174cb746731800591752129303

Michakato mizuri katika kilimo

"Ni silaha nzuri dhidi ya njaa na umasikini.”

title_686f5f174cb833917546811752129303

Mradi wa Kangetakilimo

“Unalenga kuvutia vijana wengi kushiriki katika kilimo katika ngazi zote”



Kangetakilimo

Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia.

Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo wakulima wadogowadogo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.

Changamoto

Ulimwengu umefanya juhudi kubwa kupunguza umasikini. Mwaka 1990 asilimia 43% ya idadi ya watu katika nchi zinazo endelea  wanaishi chini ya dola 1 kwa siku.

Tazama Zote

HABARI ZA HIVI KARIBUNI

Kuhusu Kangetakilimo

Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.  .... Soma Zaidi

 

Download Kangeta Kilimo App

Please publish modules in offcanvas position.