Kangetakilimo
Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia.
Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo wakulima wadogowadogo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.
Changamoto
Ulimwengu umefanya juhudi kubwa kupunguza umasikini. Mwaka 1990 asilimia 43% ya idadi ya watu katika nchi zinazo endelea wanaishi chini ya dola 1 kwa siku.
Tazama ZoteHuduma Zetu


kangetakilimo inatoa elimu juu ya elimu ya ufugaji wa samaki, kubuni mradi huo, mpangilio, utekelezaji na utunzaji.


Uzalishaji wa wanyama ni moja ya sekta kubwa ya kilimo nchini Tanzania na ina mchango mkubwa kwenye uchumi wa nchi. Sayansi ya wanyama imejumlisha mambo ya uzalishaji wa wanyama na mazao yatokanayo na wanyama.
Hii inajumlisha, ▪vipengele vyote vya utunzaji/uangalizi wa aina zote za migugo(ng'ombe, kondoo, mbuzi, nguruwe, ndege, mbuni, na farasi)
- mazao yanayotokana na wanyama hao(nyama, maziwa, manyoya, mayai, ngozi)
- mambo yanayohusu viumbe vya majini kama samaki, na aina za wanyamapori. Kangetakilimo ina wataalamu waliojikita kwenye uzalishaji wa wanyama na mazao ya wanyama kama ng'ombe, mbuzi, nguruwe, kondoo, farasi. kangetakilimo inatoa huduma maalumu zikiwemo;
- Uzalianaji wa wanyama na ndege
- Tabia za wanyama husika
- Lishe ya wanyama na ndege
- Uzalianaji wa wanyama na ndege
Ushauri wa kuzalisha na kutunza mifugo,


Kangetakilimo imelenga kuona mabadiliko chanya kwa wakulima wakiwa kama walengwa wakuu, hivo kangetakilimo inataka kubadili mtazamo wa watu wanao ogopa kujiingiza kwenye kilimo kutokana na kukosa elimu ya namna ya kuendesha kilimo cha kisasa kwenye mashamba yao.
Kangetakilimo wanatoa mafunzo na mpango kazi. Yote haya yatafanywa kwa vitendo na kufanya majaribio pale inapotakiwa.
DUKA KILIMO

mtego wa nyigu wa maembe,mapera

mtego wa nyigu wa matikiti,maboga,matango

mtego wa nyigu wa parachichi na machungwa

mtego wa nyigu wa papai,parachihi,machungwa
HABARI ZA HIVI KARIBUNI


Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaidi katika mikoa ya


Bamia ni zao la Jamii ya mbogamboga linalotambulika kitaalamu kama Abelmoschus esculentus (OKRA) lenye asili ya Afrika ya magharibi. Kwa sasa zao hili linalimwa katika nchi nyingi hasa sehemu za joto. Baadhi ya maeneo yanayolima zao la bamia kwa Tanzania ni pamoja na ukanda wote wa nchi ya Tanzania,Kutoka mita 0-1500 kutoka usawa wa bahar