Makala

Mabogalise Hulimwa kama zao la biashara katika sehemu nyingi duniani zenye hali ya hewa ya joto la wastani. Zao hili lina wapatia watu shughuli za kufanya na hivyo kuwapatia kipato kuanzia kwenye nyanja za uzalishaji hadi kwenye matumizi.

Kuna aina mbalimbali za inzi wa matunda wanaoshambuliwa mazao mbalimbali kama maembematikiti,ndizi,papai,machungwa,parachichi nk,  kangeta kilimo kitengo cha tafiti za visumbufu vya mazao

Ng’ombe ni mnyama jamii ya nyati ambaye hufugwa na mwanadamu. Nchini Tanzania ng’ombe ni mnyama mkubwa kuliko wanyama wengine wote wanaofugwa vijijini.Ng’ombe huwapatia wanadamu nyama, maziwa, ngozi na mbolea.

Kuhusu Kangetakilimo

Ni mtandao wa kilimo unaotumia malighafi za kilimo na masoko yaliyopo Tanzania ikiwa imelenga wakulima wadogo wa kati na wakubwa katikata kuwapatia njia bora za kilimo na technologia Kangetakilimo inawawezesha na kuwapa uwezo kwa kutumia technologia katika kilimo kwa mlengo wa kulima kibiashara.  .... Soma Zaidi

 

Download Kangeta Kilimo App

Please publish modules in offcanvas position.